KARIBU MKURANGA

Sunday, June 10, 2012

WANA JUMUIYA YA MKURANGA NDIO KWETU WALIOCHUKUA FOMU WAREJESHA FOMU ZAO


Habari zilizopatikana na kudhibitishwa na wadau wenyewe ni kuwa ndugu, jamaa na rafiki zetu Ndg Nyimgeni Mohamed, Ndg Juma Nguvumali na Iddi Majuto wote wamerejesha fomu za kuomba ridhaa ya chama cha mapinduzi kuongoza jumuiya ya vijana ya chama hicho kupitia ngazi ya wilaya.
 Kila la kheri kina waukae, mkuranga inawahitaji leo kuliko wakati mwingine wowote, rai yangu kwenu kwa wale ambao kura hazitatosha msikate tamaa bado mnaweza kupata fursa ya kuwatumikia wana Mkuranga kwa nyanja zingine na kwa fursa nyingine.

Wassallam,
Baraka Mwago,
Kaimu M/kiti 
Mkuranga Ndio Kwetu

No comments:

Post a Comment