KARIBU MKURANGA

Friday, June 22, 2012

KIKAO CHA KESHO WADAU WA MKURANGA NDIO KWETU CHA HAIRISHWA

Assalam Alyekum,
Nawausia na kuisia nafsi yangu tuwe wacha mungu na Allah atufanyie wepesi tuwesze kupata fursa ya kusali Salat -Jumaa.

Nachukua fursa hii kuwajuza wadau wote wa maendeleo ya Mkuranga kupitia jukwaa hili letu la vijana wasomi toka Mkuranga kikao cha kesho tarehe 23/06/2012 kimeharishwa mpaka tutakapojuzana.

Sababu za kuhairisha
1. Wajumbe/wadau wachache pekee ndio waliothibitisha kuhudhuria
2. Kuwapa fursa ndg zetu ambao bado wanafanya mitihani vyuoni kumaliza kwa wepesi.

Kwa taarifa hii tunaomba kupokea maoni yenu ni wakati gani muafaka wa kikao hiki kifanyike? wapi? lini na saa ngapi?

Wabillah Tawfiq,

Baraka Mwago
Kaimu M/kiti wa jumuiya

No comments:

Post a Comment